Mgombeaji wa UDA ashinda uchaguzi mdogo wa Emurua Dikirr
POLITICSKENYA NEWS AGENCYFri, 15 May 2026
Mgombeaji wa kiti cha ubunge wa gatuzi dogo la Emurua Dikirr katika Kaunti ya Narok kupitia chama cha United Democratic Alliance (UDA), David Keter almaarufu kama Dollarline, ametangazwa mshindi wa uchaguzi mdogo uliofan...